Whats New
Nov
2022
NAIBU KATIBU MKUU JUMA S. MKOMI AKAGUA UTEKELEZAJI MIRADI YA UVIKO 19 - KITUO CHA MAKUMBUSH
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Juma S. Mkomi amefanya ziara ya kikazi ya kukagua matumizi ya fedha zilizotolewa na Serikali kugharamia miradi mbalimbali katika kituo cha Makumbusho ya Elimu Viumbe kilichopo Jijini Arusha. Read More
Nov
2022
INVITATION TO PARTICIPATE IN 8TH ELECTRONIC AUCTIONING OF HUNTING BLOCKS
Tanzania Wildlife Management Authority (TAWA) invites applications from qualified applicants for the allocation of Tourist Hunting Blocks through electronic auctioning (e-auctioning). Currently, there are 24 hunting Blocks within Game Reserves (GRs), Game Controlled Areas (GCAs) and… Read More
Nov
2022
MATOKEO YA SENSA YA WANYAMAPORI KWA MWAKA 2022
Wizara ya Maliasili na Utalii inapenda kuujulisha umma matokeo ya sensa ya wanyamapori iliyofanyika kuanzia tarehe 21 Septemba hadi tarehe 10 Oktoba 2021 kwenye mfumo Ikolojia wa Katavi – Rukwa na Ruaha-Rungwa yenye eneo la ukubwa wa kilometa za mraba 88,718. Read More
Nov
2022
TANZANIA YAONGOZA KUWA NA NYATI WENGI BARANI AFRIKA.
Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dkt. Pindi Chana ametangaza matokeo ya sensa ya wanyamapori iliyofanyika mwaka huu ambapo Tanzania inatajwa kuongoza kwa idadi kubwa ya nyati Barani Afrika kwa kuwa na jumla ya nyati 191,805.
Read More
Oct
2022
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAISHAURI WIZARA KUHUSU TAFORI
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeishauri Wizara ya Maliasili na Utalii kuiongezea fedha Taasisi ya Utafiti wa Misitu Tanzania (TAFORI) ili iweze kutimiza majukumu yake kwa ufanisi na kupanua wigo wa huduma katika maeneo mbalimbali nchini. Read More
Oct
2022
MAPATO, IDADI YA UTALII VYAPAA KIPINDI CHA UVIKO -19
Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dkt. Pindi Chana amesema mapato ya utalii yameongezeka kipidi cha mlipuko wa wa ugonjwa wa UVIKO 19 kutoka Dola za Marekani 714 milioni ( Sh 1.6 trilioni) mwaka 2020 hadi kufiki Dola 1.3 Bil, ( Sh 3 trilioni) mwak 2021
Read More
Oct
2022
KAMATI YA BUNGE YAVUTIWA NA MRADI WA REGROW, YATAKA UKAMILIKE KWA WAKATI
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeonesha kuvutiwa na utekelezaji wa Mradi wa Kuboresha Usimamizi wa Maliasili na Kukuza Utalii Kusini mwa Tanzania (REGROW wakitoa wito kwa mradi huo kukamilika kwa wakati ili wananchi wa Kusini waanze kunufaika kupitia vivutio… Read More