Whats New
Apr
2013
Government clarifies on decision to provide huge tracks of land to Loliondo residents
Thirty nine (39) years ago in 1974, the Government of Tanzania, through its Ministry of Natural Resources and Tourism and through Government Notice No. 269 and in line with its now world-renowned and acclaimed Conservation Policy and in accordance with the historical Policy position… Read More
Apr
2013
Team Tanzania Off to China for Tourism Promotion Mission
Tanzanian delegation will visit People’s Republic of China next week for an extensive tourism promotion campaign to the fast growing economy country of China. Team Tanzania led by the Deputy Permanent Secretary from the Ministry of Natural Resources and Tourism Ms. Nuru Millao will… Read More
Mar
2013
Tanzania Kuwa Mwenyeji wa Warsha ya Kimataifa ya Takwimu za Utalii
Tanzania itakuwa mwenyeji wa Warsha ya kimataifa ya takwimu za utalii ambayo itafanyika kwa siku nne , tarehe 18 hadi 21 mwezi huu, katika ukumbi wa Benki Kuu Dar es Salaam. Read More
Feb
2013
Uzinduzi wa Siku ya Taifa ya Kutundika Mizinga Tarehe 4 Machi 2013
Waziri Mkuu Mhe Mizengo Pinda anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika Siku ya Taifa ya Kutundika Mizinga ambayo itazinduliwa kwa mara ya kwanza Machi 4 Mwaka huu mkoani Singida katika Hifadhi ya Aghondi, iliyoko katika wilaya ya Manyoni mkoani Singida. Read More
Feb
2013
Waziri Kagasheki Aanza Kutatua Kero za Vibali yya Uvunaji Katika Shamba la Miti Sao Hill
Waziri wa Maliasili na Utalii Mheshimiwa Khamis Suedi Kagasheki amewaruhusu watu 292 ambao vibali vyao vilisitishwa mwezi Januari mwaka huu, kutokana na utata uliojitokeza, kuendelea na uvunaji katika Shamba la Sao Hill. Waziri Kagasheki ametoa ruhusa hiyo baada ya kujiridhisha kuwa… Read More
Feb
2013
Mawaziri wa Nchi Mbili Kuzindua Kituo Cha Wageni Katika WMA Ya Burunge - Manyara
Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani wa Marekani Bwana David Hayes kwa pamoja watazindua Kituo cha Wageni cha Jumuiya ya Hifadhi ya Wanyamapori (Wildlife Management Area - WMA) cha Burunge Mkoani Manyara na kukikabidhi kwa wananchi. Read More
Jan
2013
Waziri Kagasheki Ameanza Kutatua Migogoro ya Uvunaji na Uvamizi Katika Shamba la Sao Hill
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe Khamis Kagasheki amesema kuwa Wizara yake inathamini sana mchango mkubwa unaotolewa na wananchi wanaoishi katika vijiji vinavyozunguka Shamba la Miti Sao Hill na kuwa Wizara itahakikisha kuwa wananchi hao wanaendelea kufaidi matunda yanayotokana na… Read More