Whats New
May
2014
Serikali Kuanzisha Mfumo Mpya Wa Kuwalinda Wanyamapori
Wadau wa uhifadhi wa kitaifa na kimataifa wamekutana jijini Dar es Salaam na kujadili jinsi ya kuwezesha mfumo mpya utakaowezasha kulinda wanyamapori.
Akifungua mkutano huo jijini hapa leo kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete,Makamu… Read More
May
2014
A Conference Of Key National And International Stakeholders In Wildlife Conservation
The Government of United Republic of Tanzania and the International Conservation Caucus Foundation (ICCF), in collaboration with the United Nations Development Program (UNDP), will convene a conference of key national and international stakeholders in wildlife conservation. Read More

May
2014
Wafanyakazi Maliasili Na Utalii Waungana Na Wenzao Duniani Kusheherekea Mei Mosi
Wafanyakazi wa Wizara ya Maliasili na Utalii waungana na Wafanyakazi wenzao kusherekea siku ya Wafanyakazi Duniani ( Mei Mosi) wakati Mhe. Rais Jakaya Kikwete akihutubia katika sherehe hiyo katika Uwanja wa Uhuru DareS salaam. Read More
Apr
2014
TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma anakaribisha maombi kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi 482 za kazi kwa waajiri mbalimbali kama ifuatavyo: Read More

Apr
2014
Mhe. Lazaro Nyalandu Afungua Mkutano Wa 21 Wa Baraza La Wafanyakazi La Wizara Ya Maliasili

Mkutano wa 21 wa Baraza la Wafanyakazi la Wizara ya Maliasili na Utalii umefunguliwa rasmi leo tarehe 4 Aprili 2014, Mjini Morogoro na Waziri wa Wizara ya Maliasili na Utalii Mhe Lazaro Nyalandu ambaye amewaasa wajumbe kujenga mazoea ya kufanya kazi kwa uadilifu na nidhamu ili kufikia… Read More
Mar
2014
Minister for Natural Resources And Tourism Lazaro Nyalandu Promotes Tanzania On BBC HARDtalk
Minister for Natural Resources And Tourism Lazaro Nyalandu Promotes Tanzania On BBC HARDtalk Read More
Mar
2014
Tanzania’s campaign against poaching gets global backing
Tanzania has signed an agreement with the International Conservation Caucus Foundation (ICCF) and the United Nations Development Programme (UNDP) to curb the current wave of poaching. Read More