Whats New
Feb
2020
NAIBU WAZIRI KANYASU AHAMASISHA UFUGAJI NYUKI KIBIASHARA
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Constantine Kanyasu ametoa hamasha kwa wakazi Kisiwa cha Ukerewe kilichopo mkoani Mwanza kutambua umuhimu wa kufuga nyuki na faida ya asali kiuchumi na kiafya.
Aidha, Mhe.Kanyasu ametoa ruhusa kwa wananchi wenye nia ya kufuga… Read More
Dec
2019
DRAFT; WILDLIFE CONSERVATION(GAME MEAT SELLING) REGULATIONS,2019
Please find the attached document abiove Read More

Sep
2019
NAIBU WAZIRI KANYASU AWATAKA TFS KUTUMIA BODABODA KUKABILIANA NA WASAFIRISHAJI MKAA
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Constantine Kanyasu amewataka Watendaji wa Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania ( TFS) waanze msako kwa kutumia Bodaboda (Pikipiki) ikiwa ni mbinu mpya ya kukabiliana na wananchi wanaosafirisha mazao ya misitu kwa kutumia baiskeli na pikipiki. Read More
Sep
2019
MHE.KANYASU ATAKA MAMENEJA WA MAPORI NCHINI KUHIFADHI KIBIASHARA
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe.Constantine Kanyasu amewataka Mameneja wanaosimamia Mapori ya Akiba na Hifadhi za Mazingira Asilia nchini waanze kufikiri kibiashara kulingana na shughuli wanazozifanya badala ya kujikita kuhifadhi kwa ajili ya Bioanuwai pekee.
Read More
Jul
2019
UTALII WA SOKWEMTU KUANZISHWA KATIKA HIFADHI YA TAIFA RUMANYIKA NA IBANDA MKOANI KAGERA
Serikali imesema itawapandikiza Sokwemtu katika hifadhi ya Taifa ya Rumanyika Orugundu na Ibanda mkoani Kagera kwa kuwa hifadhi hizo zina Ikolojia na chakula cha kutosha kinachoruhusu kustawi kwa wanyamapori hao hatua itakayochangia kukuza shughuli za utalii wa Sokwemtu hapa nchini… Read More
Jun
2019
MLIMA KILIMANJARO WATUMIKA KUHAMASISHA MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI.
Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Hamisi Kigwangalla amepongeza juhudi zinazofanywa na wadau mbalimbali kutangaza utalii na uanzishwaji wa kampeni zinazohamasisha mapambano dhidi ya VVU na Ukimwi kupitia vivutio vya utalii vilivyopo hapa nchini. Read More