Whats New
Dec
2020
MFUMO WA KIELETRONIKI WA TATHMINI YA UPANGAJI WA HUDUMA ZA MALAZI NA CHAKULA KATIKA UBORA
Wizara imesanifu na kujenga mfumo wa Kieletroniki wa Tathmini ya Upangaji wa Huduma za Malazi na Chakula katika ubora wa Madaraja utakaotumiwa na Wizara na wadau wengine wote wanaohusika. Mfumo huu umepewa jina la Accommodation Services in Tanzania – aserT. Mfumo wa aserT ambao… Read More

Oct
2020
UZINDUZI WA MKAKATI WA KITAIFA WA KUSIMAMIA UTATUZI WA MIGOGORO BAINA YA BINADAMU NA WANYAMAPORI

Tanzania ni miongoni mwa nchi chache duniani zenye idadi kubwa ya wanyamapori na imetenga zaidi ya theluthi ya ardhi yake kwa ajili ya uhifadhi wa Wanyamapori. Ardhi hiyo ni Hifadhi za Taifa 22, Mapori ya Akiba 22, Mapori Tengefu 30, Maeneo ya Ardhioevu matatu na Maeneo 38 ya Jumuiya… Read More

Oct
2020
THE STATE OF TANZANIA TOURISM SECTOR DURING COVID-19 PANDEMIC.

Tanzania is indeed well positioned to tap into the growing potential of the high-yield and ever-expanding tourism industry. The country is endowed with world-renowned biodiversity, culture and wildlife attractions. Our strategic location, economic stability and multi-cultural hospitality… Read More

Aug
2020
TANGAZO LA MAFUNZO KWA WAMILIKI WA HUDUMA ZA MALAZI KUTUMIA MFUMO WA MNRT PORTAL
Sheria ya Utalii Na. 29 ya Mwaka 2008, kifungu Na. 30 (a) ikisomwa sambamba na Kanuni ya Huduma za Malazi ya mwaka 2015 (The Tourism (Accomodation Facilities) Regulation, 2015) pamoja na maboresho yake ya mwaka 2019 (The Tourism (Accomodation Facilities Regulation Amendment, 2019)… Read More
