You Are Here: Home » Whats New

Whats New

16
Feb
2023

MABORESHO YA TOVUTI YA WIZARA

Wizara ya Maliasili na Utalii inawatangazia wananchi wote kuwa Tovuti hii ya Wizara inayopatikana kwa anuani ya www.maliasili.go.tz inaendelea kufanyiwa maboresho makubwa yenye lengo la kuongeza wigo wa utoaji na upatikanaji taarifa mbalimbali za Wizara kuhusu Sekta ya Wanyamapori,… Read More

02
Feb
2023

TAMKO LA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII KUHUSU KUONGEZEKA KWA VITENDO VYA WANANCHI KUVAMIA, KUJERUHI

Wizara ya Maliasili na Utalii imepewa dhamana ya kusimamia Uhifadhi wa Maliasili, Malikale na Maendeleo ya Utalii. Katika kutekeleza majukumu hayo, Wizara inasimamia maeneo yaliyohifadhiwa kisheria yenye ukubwa wa kilometa za mraba takriban 307,800 sawa na asilimia 32.5 ya eneo lote… Read More

02
Feb
2023

TAMKO LA WIZARA YA MALIASILI NA UTALII KUHUSU KUONGEZEKA KWA VITENDO VYA WANANCHI KUVAMIA, KUJERUHI

Wizara ya Maliasili na Utalii imepewa dhamana ya kusimamia Uhifadhi wa Maliasili, Malikale na Maendeleo ya Utalii. Katika kutekeleza majukumu hayo, Wizara inasimamia maeneo yaliyohifadhiwa kisheria yenye ukubwa wa kilometa za mraba takriban 307,800 sawa na asilimia 32.5 ya eneo lote… Read More

29
Jan
2023

SERIKALI YA TANZANIA IMESEMA WANANCHI WALIOHAMA KWA HIARI KUTOKA HIFADHI YA NGORONGORO KWENDA MSOMER

Serikali ya Tanzania imeiambia Kamisheni ya Afrika ya Haki za Binadamu kuwa zoezi la kuwahamisha wananchi waliojiandikisha kwa hiari kutoka Hifadhi ya Ngorongoro kwenda katika Kijiji cha Msomera wilayani Handeni mkoa wa Tanga na maeneo mengine ni kulinda haki za Binadamu.
Read More

29
Jan
2023

SERIKALI YA TANZANIA IMESEMA WANANCHI WALIOHAMA KWA HIARI KUTOKA HIFADHI YA NGORONGORO KWENDA MSOMER

Serikali ya Tanzania imeiambia Kamisheni ya Afrika ya Haki za Binadamu kuwa zoezi la kuwahamisha wananchi waliojiandikisha kwa hiari kutoka Hifadhi ya Ngorongoro kwenda katika Kijiji cha Msomera wilayani Handeni mkoa wa Tanga na maeneo mengine ni kulinda haki za Binadamu.
Read More

10
Jan
2023

TAARIFA KWA UMMA KUHUSU NDEGE ZINAZOTUA NA KURUKA KWENYE MAENEO YA HIFADHI

Dodoma 10 Januari, 2023.

Hivi karibuni kumekua na taarifa za uzushi na upotoshaji zinaendelea kutolewa kupitia mitandao ya kijamii na baadhi ya watu wenye nia ovu ili kuzua taharuki kuwa ndege zinazoruka na kutua katika maeneo ya hifadhi zinasafirisha wanyamapori na rasilimali… Read More

24
Nov
2022

UTEUZI WA WAJUMBE WA BODI YA WAKURUGENZI YA TAASISI YA UTAFITI WA WANYAMAPORI TANZANIA (TAWIRI)

Kufuatia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, kumteua Dkt. David Nkanda Manyanza kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI), Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi H. Chana (Mb) kwa mamlaka… Read More

© 2023 - Ministry of Natural Resources and Tourism Tanzania

Scroll To Top