Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi wa mkoa wa Iringa wakati wa hafla ya kuweka jiwe la msingi la upanuzi wa uwanja wa ndege wa Nduli.
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe Balozi Dkt. Pindi Chana amemshukuru na kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuiinua sekta ya Maliasili…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Samia Suluhu Hassan Leo tarehe 9 Agosti, 2022 amezidu rasmi Barabara ya Njombe kwenda Makete yenye urefu wa Kilometa 107.4 iliyojengwa kwa…
Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe.Balozi Dkt. Pindi Chana akimshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwa kuipatia Wizara yake fedha za utekelezaji…
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango Emmanuel Tutuba na Balozi wa Jamhuri ya Shirikisho la Ujerumani nchini Tanzania, Mhe. Regine Hess wakitia saini mkataba wa msaada Euro Milioni…
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Bw. Juma Mkomi akitoa maelezo ya matumizi ya Euro Milioni 6 katika kutatua migogoro baina ya binadamu na wanyama kwenye hafla jijini…
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja katika picha ya pamoja na washiriki wa mafunzo ya kukabiliana na ujangili na usafirishaji haramu wa mazao ya wanyamapori na mimea,Dar…