Waziri Ndumbaro akiwa na Balozi wa Tz nchini Uholanzi, Mhe.Irene Kasyanju wakipewa maelezo Meneja Masoko wa Kilabu ya Ajax Bw. Ted Robinson mara baada ya kutembelea uwanja wa Kilabu…
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt.Damas Ndumbaro akitiliana saini mkataba wa Tanzania kuwa Mwenyeji wa Mkutano Mkubwa wa Utalii wa 65 wa Utalii unaotarajiwa kufanyika Oktoba 5 hadi…
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt.Damas Ndumbaro akibadilishana mkataba wa Tanzania kuwa Mwenyeji wa Mkutano Mkubwa wa Utalii wa 65 wa Utalii unaotarajiwa kufanyika Oktoba 5 hadi 7…
waziri Ndumbaro akiwa kwenye picha ya pamoja na viongozi wa Kilabu ya Atletico,Danilo Scio mara baada ya mkutano na uongozi wa timu ya Atletico inayoshiriki daraja la kwanza
Waziri Ndumbaro akizungumza na Mkurugenzi wa Kilabu hiyo Antonio Sanches ( wa kwanza kushoto) pamoja na Mkurugenzi wa Masoko, Alberto Heras ambao ni Viongozi timu ya Getafe
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa nyumba 103 zizonajengwa katika kijiji cha Msomera Handeni, Tanga wananchi watakaokubali kwa hiari kuhama kutoka Hifadhi ya Ngorongoro
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa akikagua ujenzi wa nyumba 103 zizonajengwa katika kijiji cha Msomera Handeni, Tanga wananchi watakaokubali kwa hiari kuhama kutoka Hifadhi ya Ngorongoro