Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akizungumza katika Kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii jijini Dodoma
Baadhi ya watendaji na watumishi wa Wizara ya Maliasili na Utalii wakifuatilia mada katika Kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii jijini Dodoma.
Kamati ya Bunge ikijadili taarifa ya Utekelezaji wa Chuo cha Viwanda wa Misitu (FITI) na taarifa ya utekelezaji ya miaka 4 ya Mradi wa Kuongeza Mnyororo wa Thamani ya Mazao ya Misitu…
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) akizungumza katika kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii jijini Dodoma.
Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii, Prof. Eliamani Sedoyeka akifafanua jambo katika Kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii jijini Dodoma.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akifafanua jambo katika Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii jijini Dodoma.