Katibu Mkuu, Dkt. Francis Michael ( wa pili kulia) afanya mazungumzo na Mkuu wa Shirika la Maendeleo la Ujerumani, Dkt.Mike Folke (wa pili kulia) akiwa pamoja na Mkurugenzi wa Wanyamapori,…
Katibu Mkuu, Dkt. Francis Michael akizungumza wakati akifungua kikao kazi cha wakuu wa idara ya utawala wa wizara na taasisi zake na amewataka kuzingatia kanuni,sheria na taratibu za…
Katibu Mkuu, Dkt. Francis Michael akizungumza wakati akifungua mafunzo ya sheria na kanuni za ununuzi wa umma ambapo amesema mafunzo hayo yatawajengea uwezo katika sheria za ununuzi…
Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Francis Michael akifafanua jambo katika kikao cha awali cha Mawaziri katika Mkutano wa 8 wa Baraza la Sekta ya Mazingira na Maliasili…
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akihoji agenda za kikao katika Mkutano wa 8 wa Baraza la Sekta ya Mazingira na Maliasili Afrika Mashariki jijini Arusha.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akizungumza katika Mkutano wa 8 wa Baraza la Sekta ya Mazingira na Maliasili Afrika Mashariki jijini Arusha