Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Francis Michael akifafanua jambo katika kikao cha awali cha Mawaziri katika Mkutano wa 8 wa Baraza la Sekta ya Mazingira na Maliasili…
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akihoji agenda za kikao katika Mkutano wa 8 wa Baraza la Sekta ya Mazingira na Maliasili Afrika Mashariki jijini Arusha.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akizungumza katika Mkutano wa 8 wa Baraza la Sekta ya Mazingira na Maliasili Afrika Mashariki jijini Arusha
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akifuatilia matukio katika Kilele cha Wiki ya Ubinifu Kitaifa katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. Philip Isdor Mpango (wa pili kutoka kulia) akikabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni tano Mshindi wa Kwanza Dkt.Jerome…
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. Philip Isdor Mpango katika picha ya pamoja na Mawaziri na Naibu Mawaziri kwenye Kilele cha Wiki ya Ubunifu Kitaifa jijini…
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii,Dkt.Francis Michael akizungumza na Makamishna wa Uhifadhi(hawapo pichani) katika kikao kilichofanyika jijini Dodoma.